sw_tn/psa/057/002.md

501 B

anayefanya vitu hivi vyote kwa ajili yangu

Hii inaeleza kwa nini atalia kwa Mungu. "kwa sababu hufanya vitu vyote kwa ajili yangu"

wale wanao niponda

Mashambulizi makali ya adui yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa wakikandamiza mwili wake kwa kutembea juu yake. "wale wanaonishambulia kwa ukali"

Mungu atanitumia upendo wake wa huruma na uaminifu wake

Huruma na uaminifu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba anatuma huruma yake na uaminifu wake. "Mungu atakuwa na huruma kwangu na mwaminifu"