forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
501 B
Markdown
12 lines
501 B
Markdown
|
# anayefanya vitu hivi vyote kwa ajili yangu
|
||
|
|
||
|
Hii inaeleza kwa nini atalia kwa Mungu. "kwa sababu hufanya vitu vyote kwa ajili yangu"
|
||
|
|
||
|
# wale wanao niponda
|
||
|
|
||
|
Mashambulizi makali ya adui yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa wakikandamiza mwili wake kwa kutembea juu yake. "wale wanaonishambulia kwa ukali"
|
||
|
|
||
|
# Mungu atanitumia upendo wake wa huruma na uaminifu wake
|
||
|
|
||
|
Huruma na uaminifu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba anatuma huruma yake na uaminifu wake. "Mungu atakuwa na huruma kwangu na mwaminifu"
|