forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
839 B
Markdown
20 lines
839 B
Markdown
# unakubaliana naye
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) kwamba wanakubaliana na matendo ya mwizi. "unamkubali" au 2) kwamba wanamuunga mwizi katika matendo yake. "unamuunga"
|
|
|
|
# Unatoa mdomo wako kwa uovu
|
|
|
|
Mungu anamzungumzia mtu kuongea vitu vya uovu kana kwamba mdomo wa mtu ni mjumbe ambaye mtu anamtuma kufanya vitu viovu. "Daima huwa unasema vitu viovu"
|
|
|
|
# ulimi wako unaeleza uongo
|
|
|
|
Neno "ulimi" linawakilisha mtu anayezungumza. "huwa unasema uongo daima"
|
|
|
|
# Unakaa na kuzungumza dhidi ya ndugu yako; unamkashifu mtoto wa mama yako
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja lakini inatumia maneno tofauti. Mungu anawashtaki kwa kuongea uongo dhidi ya watu wa familia yao wenyewe.
|
|
|
|
# Unakaa na kuzungumza
|
|
|
|
"Kukaa na kuzungumza" dhidi ya mtu inaashiria kuwa mtu huyu anawaza kwa makusudi vitu vibaya vya kusema kwa mtu. "Huwa unawaza namna ya kuongea"
|