forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
359 B
Markdown
12 lines
359 B
Markdown
# Mtolee Mungu
|
|
|
|
Hapa Mungu inamaanisha mwenyewe. "Nitolee mimi"
|
|
|
|
# lipi nadhiri zako kwa Aliye juu
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia "nadhiri" kana kwamba ni fedha ambayo mtu analipa kwa Mungu. "timiza nadhiri zako kwa Aliye juu" au "fanya kile ulichomwahidi aliye juu kufanya"
|
|
|
|
# katika siku ya shida
|
|
|
|
Hapa neno "siku" linamaanisha wakati wowote. "unapokuwa na taabu"
|