sw_tn/psa/050/014.md

359 B

Mtolee Mungu

Hapa Mungu inamaanisha mwenyewe. "Nitolee mimi"

lipi nadhiri zako kwa Aliye juu

Mwandishi anazungumzia "nadhiri" kana kwamba ni fedha ambayo mtu analipa kwa Mungu. "timiza nadhiri zako kwa Aliye juu" au "fanya kile ulichomwahidi aliye juu kufanya"

katika siku ya shida

Hapa neno "siku" linamaanisha wakati wowote. "unapokuwa na taabu"