forked from WA-Catalog/sw_tn
319 B
319 B
akajitokeza katika namna tofauti
Yesu alikuwa ni mtu ambaye "wale wawili" waliona, lakini walichokiona hakikuonekana kama Yesu, kwa hiyo hawakujua walikuwa wakimtazama Yesu
wengine wawili
wawili "wale walikuwa naye"
hawakuwaamini
Wanafunzi wengine hawakuwaamini wale wawili walikuwa wakitembea walichosema.