forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
319 B
Markdown
13 lines
319 B
Markdown
|
# akajitokeza katika namna tofauti
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa ni mtu ambaye "wale wawili" waliona, lakini walichokiona hakikuonekana kama Yesu, kwa hiyo hawakujua walikuwa wakimtazama Yesu
|
||
|
|
||
|
# wengine wawili
|
||
|
|
||
|
wawili "wale walikuwa naye"
|
||
|
|
||
|
# hawakuwaamini
|
||
|
|
||
|
Wanafunzi wengine hawakuwaamini wale wawili walikuwa wakitembea walichosema.
|
||
|
|