sw_tn/mrk/16/12.md

13 lines
319 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# akajitokeza katika namna tofauti
Yesu alikuwa ni mtu ambaye "wale wawili" waliona, lakini walichokiona hakikuonekana kama Yesu, kwa hiyo hawakujua walikuwa wakimtazama Yesu
# wengine wawili
wawili "wale walikuwa naye"
# hawakuwaamini
Wanafunzi wengine hawakuwaamini wale wawili walikuwa wakitembea walichosema.