forked from WA-Catalog/sw_tn
572 B
572 B
miaka ishirini na tano ... miaka kumi na nne
miaka mitano ... miaka kumi na nne** -
ya utumwa wetu
Hapa "yetu" inamrejea Ezekieli na Waisraeli ambao walikuwa katika Babeli tangu kipindi Wababeli walipomlazimisha Mfalme Yehoyakini kuondoka Yerusalemu.
mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi
Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ipo katika Mwezi wa nne kwa kalenda za Magharibi.
mji ulitekwa
"Wababeli waliuteka mji wa yerusalemu"
mkono wa Yahwe
Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1.
Akanileta kupumzika
"Akaniweka chini"