forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
572 B
Markdown
25 lines
572 B
Markdown
|
# miaka ishirini na tano ... miaka kumi na nne
|
||
|
|
||
|
miaka mitano ... miaka kumi na nne** -
|
||
|
|
||
|
# ya utumwa wetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "yetu" inamrejea Ezekieli na Waisraeli ambao walikuwa katika Babeli tangu kipindi Wababeli walipomlazimisha Mfalme Yehoyakini kuondoka Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ipo katika Mwezi wa nne kwa kalenda za Magharibi.
|
||
|
|
||
|
# mji ulitekwa
|
||
|
|
||
|
"Wababeli waliuteka mji wa yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# mkono wa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1.
|
||
|
|
||
|
# Akanileta kupumzika
|
||
|
|
||
|
"Akaniweka chini"
|
||
|
|