forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.1 KiB
Markdown
37 lines
1.1 KiB
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# Hautakiwi kumuonea mtumishi wa kuajiriwa
|
|
|
|
"Hautakiwi kumtendea mtumishi wa kuajiriwa vibaya"
|
|
|
|
# mtumishi wa kuajiriwa
|
|
|
|
mtu ambaye hulipwa kila siku kwa kazi yake
|
|
|
|
# maskini na muhitaji
|
|
|
|
Maneno haya mawili yana maana za kufanana na husisitiza ya kwamba mtu huyu hawezi kujisaidia mwenyewe.
|
|
|
|
# ndani ya malango ya mji wako
|
|
|
|
Hapa "malango ya mji" ina maana ya miji au mjini. "moja ya miji yenu"
|
|
|
|
# Kila siku unapaswa kumlipa mshahara wake
|
|
|
|
"Unapaswa kumpatia mwanamume pesa anayopata kila siku"
|
|
|
|
# jua halipaswi kuzama kabla ya suala hili kutatuliwa
|
|
|
|
Hii ni lahaja. Waisraeli walichukulia siku mpya kuanza pale jua linapozama. "unatakiwa kumlipa mtu katika siku hiyo anayofanya kazi"
|
|
|
|
# kwa maana ni maskini na anautegemea
|
|
|
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kwa sababu ni maskini na anategemea mshahara wake kununua chakula chake cha siku inayofuata"
|
|
|
|
# asilie dhidi yako kwa Yahwe
|
|
|
|
"asipaze sauti kwa Yawhe na kumuomba akuadhibu"
|
|
|