sw_tn/act/28/intro.md

852 B

Matendo 28 Maelezo kwa jumla

Muundo na Mpangilio

Hakuna anayefahamu ni kwa nini Luka anamaliza habari hii bila kuwaambia watu kilichomtendekea Paulo baada ya yeye kuwa Roma kwa miaka miwili.

Dhana maalum katika sura hii

"Barua" na "Ndugu"

Viongozi wa Wayahudi walishangaa kwamba Paulo alitaka kuzungumza nao kwa vile hawakuwa wamepokea barua kutoka kwa kuhani mkuu Yerusalemu kusema kwamba Paulo alikuwa anakuja.

Wakati viongozi wa Wayahudi walipozungumza kuhusu "ndugu" walimaanisha Wayahudi wenzao na sio Wakristo.

Matatizo mengine ya utafsiri katika sura hii.

" Alikua mungu"

Wenyeji waliamini ya kwamba Paulo alikuwa mungu, lakini hawakuamini kwamba alikuwa Mungu wa kweli. Hatujui ni kwa nini Paulo hakuwaambia wenyeji kwamba hakuwa Mungu.

__<< | __