sw_tn/act/28/01.md

297 B

Sentensi unganishi:

Baada ya meli kuharibika, watu wa kisiwa cha Malta walimsaidia Paulo na wenzake waliokuwa kwenye meli. Walikaa pale miezi mitatu.

kisiwa kilichoitwa Malta

Malta ni kisiwa kilichopo katika kisiwa kingine ambacho kwa sasa kinaitwa Sisili.

watu asilia

wenyeji wa pale