forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
852 B
Markdown
25 lines
852 B
Markdown
|
# Matendo 28 Maelezo kwa jumla
|
||
|
|
||
|
### Muundo na Mpangilio
|
||
|
|
||
|
Hakuna anayefahamu ni kwa nini Luka anamaliza habari hii bila kuwaambia watu kilichomtendekea Paulo baada ya yeye kuwa Roma kwa miaka miwili.
|
||
|
|
||
|
### Dhana maalum katika sura hii
|
||
|
|
||
|
#### "Barua" na "Ndugu"
|
||
|
|
||
|
Viongozi wa Wayahudi walishangaa kwamba Paulo alitaka kuzungumza nao kwa vile hawakuwa wamepokea barua kutoka kwa kuhani mkuu Yerusalemu kusema kwamba Paulo alikuwa anakuja.
|
||
|
|
||
|
Wakati viongozi wa Wayahudi walipozungumza kuhusu "ndugu" walimaanisha Wayahudi wenzao na sio Wakristo.
|
||
|
|
||
|
### Matatizo mengine ya utafsiri katika sura hii.
|
||
|
|
||
|
#### " Alikua mungu"
|
||
|
|
||
|
Wenyeji waliamini ya kwamba Paulo alikuwa mungu, lakini hawakuamini kwamba alikuwa Mungu wa kweli. Hatujui ni kwa nini Paulo hakuwaambia wenyeji kwamba hakuwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
## Links:
|
||
|
|
||
|
* __[Acts 28:01 Notes](./01.md)__
|
||
|
|
||
|
__[<<](../27/intro.md) | __
|