sw_tn/act/26/01.md

437 B

Maelezo anayounganisha

Festo alimpeleka Paulo mbele ya Mfalme Agripa. Kwenye mstari wa pili Paulo anaanza kutoa utetezi wake kwa Mfalme Agripa.

Alinyoosha mkono wake

"ilinyoosha mkono wake mbele ya makutano ili apate umakini wao"

Akaweka utetezi wake

Akaakza kujitetea mwenyewe dhidi ya mashitaka"

ninajina mwenye furaha

Paulo alikuwa na furaha akatumia kuwepo kwake mbele ya Agripa kama nafasi ya kuongea juu ya injili.