forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
437 B
Markdown
17 lines
437 B
Markdown
|
# Maelezo anayounganisha
|
||
|
|
||
|
Festo alimpeleka Paulo mbele ya Mfalme Agripa. Kwenye mstari wa pili Paulo anaanza kutoa utetezi wake kwa Mfalme Agripa.
|
||
|
|
||
|
# Alinyoosha mkono wake
|
||
|
|
||
|
"ilinyoosha mkono wake mbele ya makutano ili apate umakini wao"
|
||
|
|
||
|
# Akaweka utetezi wake
|
||
|
|
||
|
Akaakza kujitetea mwenyewe dhidi ya mashitaka"
|
||
|
|
||
|
# ninajina mwenye furaha
|
||
|
|
||
|
Paulo alikuwa na furaha akatumia kuwepo kwake mbele ya Agripa kama nafasi ya kuongea juu ya injili.
|
||
|
|