sw_tn/act/19/15.md

755 B

Yesu namjua na Paulo namjua

"Namjua Yesu na Paulo" au "Nimesikia kuhusu Yesu na Paulo"

lakini ninyi ni nani?

roho aliuliza swali hili kuwathibitishia wapunga mapepo kuwa wao hawakuwa na mamlaka juu ya roho wachafu.

roho mchafu aliyekuwa ndani ya yule mtu akawarukia.

Hii inamaanisha roho mchafu alimsababisha yule mtu aliyekuwa akiongozwa naye kuwarukia hao wapunga mapepo.

Wapunga pepo

Linaelezea juu ya watu waliokuwa wakitoa roho chafu kutoka kwa watu au eneo fulani.

nao walikimbia .............. uchi

Wapunga mapepo walikimbia na kuacha nguo zao. walikimbia uchi.

Jina la Bwana Yesu liliheshimiwa

Waliliheshimu jina la Yesu ama walilifikiria jina la Bwana Yesu kuwa kuu.

Jina

Hili linasimama kwa nguvu na mamlaka ya Yesu.