forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
755 B
Markdown
29 lines
755 B
Markdown
|
# Yesu namjua na Paulo namjua
|
||
|
|
||
|
"Namjua Yesu na Paulo" au "Nimesikia kuhusu Yesu na Paulo"
|
||
|
|
||
|
# lakini ninyi ni nani?
|
||
|
|
||
|
roho aliuliza swali hili kuwathibitishia wapunga mapepo kuwa wao hawakuwa na mamlaka juu ya roho wachafu.
|
||
|
|
||
|
# roho mchafu aliyekuwa ndani ya yule mtu akawarukia.
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha roho mchafu alimsababisha yule mtu aliyekuwa akiongozwa naye kuwarukia hao wapunga mapepo.
|
||
|
|
||
|
# Wapunga pepo
|
||
|
|
||
|
Linaelezea juu ya watu waliokuwa wakitoa roho chafu kutoka kwa watu au eneo fulani.
|
||
|
|
||
|
# nao walikimbia .............. uchi
|
||
|
|
||
|
Wapunga mapepo walikimbia na kuacha nguo zao. walikimbia uchi.
|
||
|
|
||
|
# Jina la Bwana Yesu liliheshimiwa
|
||
|
|
||
|
Waliliheshimu jina la Yesu ama walilifikiria jina la Bwana Yesu kuwa kuu.
|
||
|
|
||
|
# Jina
|
||
|
|
||
|
Hili linasimama kwa nguvu na mamlaka ya Yesu.
|
||
|
|