sw_tn/act/12/09.md

674 B

Hakujua

"Hakuwa anajua kilichokuwa kinaendelea"

kilichofanywa na malaika kama ni cha kweli

Tukio la Malaika kwa Petro lilikuwa la kweli.

Baada ya kupita lindo la kwanza na la pili

Askari hawakuwa na uwezo wa kumwona Petro na malaika wakitembea mpaka kutoka lango la nje.

walipita

"Waliweza kupita"

Lindo la pili

"Katika lindo la pili nako wakapita"

Wakafika

"Walilifikia lango kuu"

Lililoelekea mjini

"Lilifunguka kutoka gerezani kuelekea mjini"

likafunguka lenyewe

Si Petro wala Malaika aliyelifungua lango hilo.

wakashuka kwenye mtaa,

"Wakatembea wakiwa barabarani"

Malaika akamwacha.

"Mara Malaika akamwacha" au "Ghafla akatoweka"