forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
674 B
Markdown
41 lines
674 B
Markdown
|
# Hakujua
|
||
|
|
||
|
"Hakuwa anajua kilichokuwa kinaendelea"
|
||
|
|
||
|
# kilichofanywa na malaika kama ni cha kweli
|
||
|
|
||
|
Tukio la Malaika kwa Petro lilikuwa la kweli.
|
||
|
|
||
|
# Baada ya kupita lindo la kwanza na la pili
|
||
|
|
||
|
Askari hawakuwa na uwezo wa kumwona Petro na malaika wakitembea mpaka kutoka lango la nje.
|
||
|
|
||
|
# walipita
|
||
|
|
||
|
"Waliweza kupita"
|
||
|
|
||
|
# Lindo la pili
|
||
|
|
||
|
"Katika lindo la pili nako wakapita"
|
||
|
|
||
|
# Wakafika
|
||
|
|
||
|
"Walilifikia lango kuu"
|
||
|
|
||
|
# Lililoelekea mjini
|
||
|
|
||
|
"Lilifunguka kutoka gerezani kuelekea mjini"
|
||
|
|
||
|
# likafunguka lenyewe
|
||
|
|
||
|
Si Petro wala Malaika aliyelifungua lango hilo.
|
||
|
|
||
|
# wakashuka kwenye mtaa,
|
||
|
|
||
|
"Wakatembea wakiwa barabarani"
|
||
|
|
||
|
# Malaika akamwacha.
|
||
|
|
||
|
"Mara Malaika akamwacha" au "Ghafla akatoweka"
|
||
|
|