sw_tn/act/05/intro.md

813 B

Matendo 5 Maelezo kwa jumla

Dhana maalum katika sura hii

"Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu"

Hakuna anayejua kwa ukamilifu iwapo Anania na Safira walikuwa Wakristo wa ukweli walipoamua kudangaya kuhusu kipande cha ardhi walichokiuza (Matendo 5:1-10), kwa maana Luka hataji swala hili. Anasema tu kwamba walikuwa "miongoni mwa walioamini" (Luke 4:32).Hata hivyo, Petero alifahamu kwamba walidanganya waumini, na alijua kwamba walikuwa wamsikiliza na kumtii shetani.

Walipowadanganya waumini, pia walimdanganya Roho Mtakatifu kwa sababu anaishi ndani ya Waumini.

Gereza

"Gereza ya uma" ambamo Baraza la Wayahudi walimueka ndani Petero (Matendo 5:18) huenda lilikuwa gereza.

<< | >>