sw_tn/act/06/intro.md

945 B

Matendo 06 Maelezo kwa jumla

Dhana maalum katika sura hii

Mgao kwa wajane

Waumini wa Yerusalemu waliwapa wajane chakula kila siku. Wote walikuzwa kama Wayahudi ingawa wengine wao walikua wameishi Yudea na walizungumza Kihebrania, na wengine walikuwa wameishi kwa Mataifa na walizungumza Kigiriki. Waliogawa chakula walikigawa kwa wajane waliozungumza Kihebrania na kuwaacha wale ambao hawakukizungumza. Kumfurahisha Mungu, viongozi wa kanisa waliwateua wanaume waliokifahamu Kigiriki kwa kugawa sehemu ya chakula kwa wajane waliokifahamu Kigiriki Mmoja wa" hao wanaume alikuwa Stefano.

Utata mwingine katika tafsiri ya sura hii

"Uso wake ulikuwa kama wa malaika"

Hakuna ajuaye vile uso wa Stefano ulivyokuwa kama uso wa malaika kwa maana Luka hatuambii hilo. Ni vema tafsiri hii kusema tu kuhusu kinachosema ULB kuhusu haya.

<< | >>