sw_tn/act/05/14.md

514 B

Maelezo ya jumla

Luka anatoa maelezo juu ya watu waliokuwa wakiishi Yerusalemu

waamini wengi walikuwa wakiongezeka kwa Bwana

Watu wengi walikuwa wakimwamini Bwana.

ili kwamba Petro akiwa anapita, kivuli chake kiweze kushuka juu yao

Inamaanisha kuwa Mungu angeweza kuwaponya wagonjwa kama kivuli cha Petro kingewagusa.

wote waliopagawa na roho wachafu,

"Wale ambao roho wachafu walikuwa wamewapagaa. Waliokuwa wakiteswa na roho wachafu"

wote waliponywa.

Mungu aliwaponya wote kwa njia ya mitume