forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
514 B
Markdown
21 lines
514 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Luka anatoa maelezo juu ya watu waliokuwa wakiishi Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
# waamini wengi walikuwa wakiongezeka kwa Bwana
|
||
|
|
||
|
Watu wengi walikuwa wakimwamini Bwana.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba Petro akiwa anapita, kivuli chake kiweze kushuka juu yao
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kuwa Mungu angeweza kuwaponya wagonjwa kama kivuli cha Petro kingewagusa.
|
||
|
|
||
|
# wote waliopagawa na roho wachafu,
|
||
|
|
||
|
"Wale ambao roho wachafu walikuwa wamewapagaa. Waliokuwa wakiteswa na roho wachafu"
|
||
|
|
||
|
# wote waliponywa.
|
||
|
|
||
|
Mungu aliwaponya wote kwa njia ya mitume
|
||
|
|