forked from WA-Catalog/sw_tn
466 B
466 B
Mkulima mwenye bidii apokee ujira wa mazao yake kwanza
Huu ni mfano wa tatu kwamba Paulo anampa Timotheo, msomaji anapaswa kuelewa kuwa watumishi wa Kristo wanahitaji kufanya kazi kwa bidii.
Fikiria juu ya ninachosema
Paulo alimpa Timotheo neno la picha, lakini hakuweza kabisa kuelezea maana zake, Yeye anatarajia Timotheo kufikiri nini alikuwa akisema kuhusu watumishi wa Kristo.
kwa maana Bwana
kwa sababu Bwana
Kwa kila kitu
"kuhusu vitu vyote"