sw_tn/2ti/02/06.md

466 B

Mkulima mwenye bidii apokee ujira wa mazao yake kwanza

Huu ni mfano wa tatu kwamba Paulo anampa Timotheo, msomaji anapaswa kuelewa kuwa watumishi wa Kristo wanahitaji kufanya kazi kwa bidii.

Fikiria juu ya ninachosema

Paulo alimpa Timotheo neno la picha, lakini hakuweza kabisa kuelezea maana zake, Yeye anatarajia Timotheo kufikiri nini alikuwa akisema kuhusu watumishi wa Kristo.

kwa maana Bwana

kwa sababu Bwana

Kwa kila kitu

"kuhusu vitu vyote"