forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
466 B
Markdown
17 lines
466 B
Markdown
|
# Mkulima mwenye bidii apokee ujira wa mazao yake kwanza
|
||
|
|
||
|
Huu ni mfano wa tatu kwamba Paulo anampa Timotheo, msomaji anapaswa kuelewa kuwa watumishi wa Kristo wanahitaji kufanya kazi kwa bidii.
|
||
|
|
||
|
# Fikiria juu ya ninachosema
|
||
|
|
||
|
Paulo alimpa Timotheo neno la picha, lakini hakuweza kabisa kuelezea maana zake, Yeye anatarajia Timotheo kufikiri nini alikuwa akisema kuhusu watumishi wa Kristo.
|
||
|
|
||
|
# kwa maana Bwana
|
||
|
|
||
|
kwa sababu Bwana
|
||
|
|
||
|
# Kwa kila kitu
|
||
|
|
||
|
"kuhusu vitu vyote"
|
||
|
|