sw_tn/2ti/01/08.md

1.5 KiB

Ushuhuda

"kushuhudia" au "kuwaambia wengine"

Ushiriki mateso kwa ajili ya injili

Paulo aliteseka kimakosa kwa ajili ya injili. Anamwambia Timotheo asiogope kuteseka kwa ajili ya ijnili.

Sawasawa na nguvu za Mungu

"Kumruhusu Mungu kukupa nguvu"

Sio kwa ajili ya kazi zetu

"Sio kwa sababu ya mambo mengi mazuri tuliyoyafanya tummeokolewa" au " Mungu hakutuokoa kwa sababu ya mambo mazuri tuliyoyafanya" au "Mungu alituokoa japokuwa tulifanya mambo mabaya"

Aliyetuokoa kwa mipango yake mwenyewe

"Mungu alipanga kutuokoa na sasa ametuokoa" au "Mungu aliamua kutuokoa ni vipi atatuokoa na sasa ametuokoa" au "aliyetuokoa... kama alivyopanga"

Tangu mwanzo

"Kabla ulimwengu haujaanza" au "kabla ya mwanzo"

wokovu wa Mungu umefunuliwa kwa kuja kwa mwokozi wetu Yesu Kristo

"Mungu ameonyesha namna ambavyo anaweza kutuokoa kwa kutupa mkombozi wetu Masihi Yesu kufunuliwa"

Aliyeondoa mauti

"Aliyeondoa nguvu ya kifo juu yetu"

kuleta uzima usiokwisha kwenye mwanga katika injili

"Kufundisha ni maisha gani yasiyokuwa na mwisho kwa kuhubiri injili"

Niliteuliwa kuwa muhubiri

"Mungu alinichagua kuhubiri ujumbe"

Mtumwa wake

"mtumwa kwa ajili yake" au "mtumwa kwa sababu nashuhudia habari za Bwana"

kwa Kristo Yesu

"kupitia mahusiano Yetu na Kristo Yesu"

kwa wito mtakatifu

"Tumetengwa kuwa watu wake kwa wito mtakatifu" au "kuwa watu wake watakatifu"

Alifanya haya

"alituokoa na kutuita sisi"

Kwa kuja mkombozi wety Kristo Yesu

"kwa kumtuma mkombozi wetu Yesu Kristo."