forked from WA-Catalog/sw_tn
61 lines
1.5 KiB
Markdown
61 lines
1.5 KiB
Markdown
|
# Ushuhuda
|
||
|
|
||
|
"kushuhudia" au "kuwaambia wengine"
|
||
|
|
||
|
# Ushiriki mateso kwa ajili ya injili
|
||
|
|
||
|
Paulo aliteseka kimakosa kwa ajili ya injili. Anamwambia Timotheo asiogope kuteseka kwa ajili ya ijnili.
|
||
|
|
||
|
# Sawasawa na nguvu za Mungu
|
||
|
|
||
|
"Kumruhusu Mungu kukupa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Sio kwa ajili ya kazi zetu
|
||
|
|
||
|
"Sio kwa sababu ya mambo mengi mazuri tuliyoyafanya tummeokolewa" au " Mungu hakutuokoa kwa sababu ya mambo mazuri tuliyoyafanya" au "Mungu alituokoa japokuwa tulifanya mambo mabaya"
|
||
|
|
||
|
# Aliyetuokoa kwa mipango yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"Mungu alipanga kutuokoa na sasa ametuokoa" au "Mungu aliamua kutuokoa ni vipi atatuokoa na sasa ametuokoa" au "aliyetuokoa... kama alivyopanga"
|
||
|
|
||
|
# Tangu mwanzo
|
||
|
|
||
|
"Kabla ulimwengu haujaanza" au "kabla ya mwanzo"
|
||
|
|
||
|
# wokovu wa Mungu umefunuliwa kwa kuja kwa mwokozi wetu Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
"Mungu ameonyesha namna ambavyo anaweza kutuokoa kwa kutupa mkombozi wetu Masihi Yesu kufunuliwa"
|
||
|
|
||
|
# Aliyeondoa mauti
|
||
|
|
||
|
"Aliyeondoa nguvu ya kifo juu yetu"
|
||
|
|
||
|
# kuleta uzima usiokwisha kwenye mwanga katika injili
|
||
|
|
||
|
"Kufundisha ni maisha gani yasiyokuwa na mwisho kwa kuhubiri injili"
|
||
|
|
||
|
# Niliteuliwa kuwa muhubiri
|
||
|
|
||
|
"Mungu alinichagua kuhubiri ujumbe"
|
||
|
|
||
|
# Mtumwa wake
|
||
|
|
||
|
"mtumwa kwa ajili yake" au "mtumwa kwa sababu nashuhudia habari za Bwana"
|
||
|
|
||
|
# kwa Kristo Yesu
|
||
|
|
||
|
"kupitia mahusiano Yetu na Kristo Yesu"
|
||
|
|
||
|
# kwa wito mtakatifu
|
||
|
|
||
|
"Tumetengwa kuwa watu wake kwa wito mtakatifu" au "kuwa watu wake watakatifu"
|
||
|
|
||
|
# Alifanya haya
|
||
|
|
||
|
"alituokoa na kutuita sisi"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuja mkombozi wety Kristo Yesu
|
||
|
|
||
|
"kwa kumtuma mkombozi wetu Yesu Kristo."
|
||
|
|