forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
408 B
Markdown
17 lines
408 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Paulo anajitambulisha kama mwandishi wa barua na analisalimu kanisa la Watheselonike.
|
|
|
|
# Paulo, Silivanus na Timotheo kwa kanisa.
|
|
|
|
Paulo ndiye mwandishi wa barua hii
|
|
|
|
# Neema na amani iwe kwenu
|
|
|
|
Neno "neema" na "amani" ni maumbo kwa mtu anayeishi na watu kwa ukarimu na amani. "Mungu awe mkarimu kwenu na awape amani"
|
|
|
|
# Amani iwe nanyi.
|
|
|
|
Neno "Nanyi" linaelezea waumini wa Thesalonike.
|
|
|