sw_tn/1th/01/01.md

408 B

Maelezo ya Jumla

Paulo anajitambulisha kama mwandishi wa barua na analisalimu kanisa la Watheselonike.

Paulo, Silivanus na Timotheo kwa kanisa.

Paulo ndiye mwandishi wa barua hii

Neema na amani iwe kwenu

Neno "neema" na "amani" ni maumbo kwa mtu anayeishi na watu kwa ukarimu na amani. "Mungu awe mkarimu kwenu na awape amani"

Amani iwe nanyi.

Neno "Nanyi" linaelezea waumini wa Thesalonike.