forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
792 B
Markdown
33 lines
792 B
Markdown
# Watoto wapendwa.
|
|
|
|
Watoto wanaopendwa/waumini wanaopatana naye.
|
|
|
|
# Msiruhusu mtu yeyote kuwapotosha.
|
|
|
|
"Msikubali mtu yeyote awafanye wajinga" au "msikubali mtu yeyote awadanganye."
|
|
|
|
# Atendaye haki ni mwenye haki, kama Kristo alivyo mwenye haki.
|
|
|
|
"Anayetenda kilicho sahihi anampendeza Mungu kama Kristo anavyompendeza Mungu."
|
|
|
|
# Hutenda dhambi.
|
|
|
|
"Huendelea kutenda dhambi"
|
|
|
|
# Ni ya Ibilisi.
|
|
|
|
"Humilikiwa na shetani au ni kama shetani"
|
|
|
|
# Kutoka mwanzo.
|
|
|
|
Hii inalenga hasa nyakati za uumbaji kabla ya binadamu hawajaanguka dhambini. "Tangu nyakati za mwanzo za uumbaji."
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu alidhihirishwa.
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kwa fungu la maneno yanayoonesha kitendo: "Mungu alimudhihirisha Mwanawe."
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu.
|
|
|
|
Hili ni jina mhimu kwa Yesu ambalo hufafanua uhusiano kwa Mungu.
|
|
|