sw_tn/1jn/03/07.md

792 B

Watoto wapendwa.

Watoto wanaopendwa/waumini wanaopatana naye.

Msiruhusu mtu yeyote kuwapotosha.

"Msikubali mtu yeyote awafanye wajinga" au "msikubali mtu yeyote awadanganye."

Atendaye haki ni mwenye haki, kama Kristo alivyo mwenye haki.

"Anayetenda kilicho sahihi anampendeza Mungu kama Kristo anavyompendeza Mungu."

Hutenda dhambi.

"Huendelea kutenda dhambi"

Ni ya Ibilisi.

"Humilikiwa na shetani au ni kama shetani"

Kutoka mwanzo.

Hii inalenga hasa nyakati za uumbaji kabla ya binadamu hawajaanguka dhambini. "Tangu nyakati za mwanzo za uumbaji."

Mwana wa Mungu alidhihirishwa.

Hii inaweza kutafsiriwa kwa fungu la maneno yanayoonesha kitendo: "Mungu alimudhihirisha Mwanawe."

Mwana wa Mungu.

Hili ni jina mhimu kwa Yesu ambalo hufafanua uhusiano kwa Mungu.