sw_tn/1co/10/11.md

735 B

mambo haya yalitokea kwao

"Mungu aliwaadhibu babu zetu"

mifano kwetu.

Hapa "sisi" ina rejea kwa waumini wote.

Yaliandikwa ili yawe mafundisho kwetu

katika muundo tendaji:- " Mungu alitaka Musa ayaandike ili tujifunze kutenda kwa usahihi"

nyakati za mwisho

" siku za mwisho"

asije akaanguka

hafanyi dhambi au kumkana Mungu

Hakuna jaribu lililowapata ninyi lisilo kawaida ya wanadamu

katika mtazamo chanya "majaribu ambayo yanawaathiri ninyi ni majaribu ambayo yanawapata watu wote."

Hatawaacha mjaribiwe kupita uwezo wenu

" Mungu ataruhusu mjaribiwe katika namna ambayo mtakuwa imara kiasi cha kutosha kupata ushindi"

Hatawaacha mjaribiwe

maelezo katika muundo tendaji "hataruhusu mtu yeyote awajaribu"