forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
735 B
Markdown
33 lines
735 B
Markdown
|
# mambo haya yalitokea kwao
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliwaadhibu babu zetu"
|
||
|
|
||
|
# mifano kwetu.
|
||
|
|
||
|
Hapa "sisi" ina rejea kwa waumini wote.
|
||
|
|
||
|
# Yaliandikwa ili yawe mafundisho kwetu
|
||
|
|
||
|
katika muundo tendaji:- " Mungu alitaka Musa ayaandike ili tujifunze kutenda kwa usahihi"
|
||
|
|
||
|
# nyakati za mwisho
|
||
|
|
||
|
" siku za mwisho"
|
||
|
|
||
|
# asije akaanguka
|
||
|
|
||
|
hafanyi dhambi au kumkana Mungu
|
||
|
|
||
|
# Hakuna jaribu lililowapata ninyi lisilo kawaida ya wanadamu
|
||
|
|
||
|
katika mtazamo chanya "majaribu ambayo yanawaathiri ninyi ni majaribu ambayo yanawapata watu wote."
|
||
|
|
||
|
# Hatawaacha mjaribiwe kupita uwezo wenu
|
||
|
|
||
|
" Mungu ataruhusu mjaribiwe katika namna ambayo mtakuwa imara kiasi cha kutosha kupata ushindi"
|
||
|
|
||
|
# Hatawaacha mjaribiwe
|
||
|
|
||
|
maelezo katika muundo tendaji "hataruhusu mtu yeyote awajaribu"
|
||
|
|