sw_tn/zec/14/05.md

12 lines
227 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla:
Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa
# Azali
Hili ni jina la mji au kijiji mashariki ya Yerusalemu.
# watakatifu
Pengine hii inataja malaika wa Mungu.