forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
227 B
Markdown
12 lines
227 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa
|
||
|
|
||
|
# Azali
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji au kijiji mashariki ya Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# watakatifu
|
||
|
|
||
|
Pengine hii inataja malaika wa Mungu.
|