sw_tn/zec/14/05.md

227 B

Maelezo ya Jumla:

Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa

Azali

Hili ni jina la mji au kijiji mashariki ya Yerusalemu.

watakatifu

Pengine hii inataja malaika wa Mungu.