sw_tn/zec/14/03.md

270 B

Maelezo ya Jumla:

Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa

kama apigavyo vita katika siku ya vita

"Kama alivyopiga vita zamani"

miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeitun

"Miguu yake" inamtaja Yahwe mwenyewe.