sw_tn/zec/14/03.md

12 lines
270 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa
# kama apigavyo vita katika siku ya vita
"Kama alivyopiga vita zamani"
# miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeitun
"Miguu yake" inamtaja Yahwe mwenyewe.