sw_tn/zec/12/07.md

16 lines
398 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla:
Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.
# hema za Yuda
Hapa "hema" uwakilisha nyumbani, na nyumba zinawawakilisha watu wanaoishi ndani yake.
# nyumba ya Daudi
Maana pendekezwa 1) wazao wa Daudi au 2) daraja la watawala.
# malaika wa Yahwe
Huyu ni malaika wa Yahwe aliyetumwa kuwalinda watu.