sw_tn/zec/12/07.md

398 B

Maelezo ya Jumla:

Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.

hema za Yuda

Hapa "hema" uwakilisha nyumbani, na nyumba zinawawakilisha watu wanaoishi ndani yake.

nyumba ya Daudi

Maana pendekezwa 1) wazao wa Daudi au 2) daraja la watawala.

malaika wa Yahwe

Huyu ni malaika wa Yahwe aliyetumwa kuwalinda watu.