forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
398 B
Markdown
16 lines
398 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.
|
||
|
|
||
|
# hema za Yuda
|
||
|
|
||
|
Hapa "hema" uwakilisha nyumbani, na nyumba zinawawakilisha watu wanaoishi ndani yake.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana pendekezwa 1) wazao wa Daudi au 2) daraja la watawala.
|
||
|
|
||
|
# malaika wa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Huyu ni malaika wa Yahwe aliyetumwa kuwalinda watu.
|