sw_tn/zec/12/04.md

578 B

Maelezo ya Jumla:

Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.

siku hiyo

Siku majeshi yatakapoishambulia Yerusalemu.

Hili ni tamko la Yahwe

Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.

Nitaiangalia kwa upendeleo

"Nitailinda"

nyumba ya Yuda

"watu wa Yuda"

wasema mioyoni mwao

Inamaanisha kwamba watafikiri na kujisemea wenyewe.

kwa sababu wa Yahwe wa majeshi

"kwa sababu wanamwabudu Yahwe wa majeshi"