forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
578 B
Markdown
28 lines
578 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.
|
||
|
|
||
|
# siku hiyo
|
||
|
|
||
|
Siku majeshi yatakapoishambulia Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Hili ni tamko la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|
||
|
|
||
|
# Nitaiangalia kwa upendeleo
|
||
|
|
||
|
"Nitailinda"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Yuda
|
||
|
|
||
|
"watu wa Yuda"
|
||
|
|
||
|
# wasema mioyoni mwao
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kwamba watafikiri na kujisemea wenyewe.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu wa Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu wanamwabudu Yahwe wa majeshi"
|