sw_tn/tit/03/06.md

545 B

kwa utajiri

"kwa wingi" au "ukarimu"

alimwaga Roho Mtakatifu juu yetu

imekuwa kawaida kwa Waandishi wa Agano lake kumwongelea Roho Mtakatifu kama kimiminika ambacho humwagwa. "alitupa Roho Mtakatifu kwa ukarimu"

kupitia Mwokozi wetu Yesu Kristo

"Yesu alipotuokoa sisi"

tukiwa tumehesabiwa haki

"Mungu ametutangaza kuwa hatuna dhambi" "Tayari tumefanywa wenye haki na Mungu"

tulifanyika warithi katika uhakika wa maisha ya milele.

Watu walioahidiwa na Mungu waongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia.