forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
545 B
Markdown
20 lines
545 B
Markdown
|
# kwa utajiri
|
||
|
|
||
|
"kwa wingi" au "ukarimu"
|
||
|
|
||
|
# alimwaga Roho Mtakatifu juu yetu
|
||
|
|
||
|
imekuwa kawaida kwa Waandishi wa Agano lake kumwongelea Roho Mtakatifu kama kimiminika ambacho humwagwa. "alitupa Roho Mtakatifu kwa ukarimu"
|
||
|
|
||
|
# kupitia Mwokozi wetu Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
"Yesu alipotuokoa sisi"
|
||
|
|
||
|
# tukiwa tumehesabiwa haki
|
||
|
|
||
|
"Mungu ametutangaza kuwa hatuna dhambi" "Tayari tumefanywa wenye haki na Mungu"
|
||
|
|
||
|
# tulifanyika warithi katika uhakika wa maisha ya milele.
|
||
|
|
||
|
Watu walioahidiwa na Mungu waongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia.
|