sw_tn/tit/02/14.md

323 B

alijitoa mwenyewe

"kujitoa mwenyewe afe kwa ajili yetu."

kutukomboa kutoka katika uas

Paulo anamzungumzia Yesu aliyetukomboa kana kwamba anawaweka huru watumwa kutoka katika mikono ya mabwana zao waovu.

watu maalumu

Ni kundi la watu anaowawekezea hazina

walio na hamu

"kuwa na tamaa au hamu kubwa ya ajabu"