sw_tn/tit/02/14.md

16 lines
323 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# alijitoa mwenyewe
"kujitoa mwenyewe afe kwa ajili yetu."
# kutukomboa kutoka katika uas
Paulo anamzungumzia Yesu aliyetukomboa kana kwamba anawaweka huru watumwa kutoka katika mikono ya mabwana zao waovu.
# watu maalumu
Ni kundi la watu anaowawekezea hazina
# walio na hamu
"kuwa na tamaa au hamu kubwa ya ajabu"