sw_tn/tit/01/06.md

960 B

Sentensi unganishi

Baada ya kuwa amekwisha kumwambia Tito kuwaweka kazini wazee katika kila mji katika kisiwa cha Krete, Paulo anatoa matakwa yanayohitajika kwa wazee.

Mzee lazima asiwe na lawama

Kutokulaumiwa ni ilie hali ya kujulikana kuwa mtu huyo hatendi mambo mabaya. "Mzee lazima asiwe na sifa mbaya."

Mme wa mke mmoja

"kuwa mme mwaminifu" Maana zinazokubalika 1) Mme ambaye hatafuti mahusiano na wanawake wengine au 2) asiye na mke wa pila au hawala au suria.

Watoto waaminifu

Imaana zinazokubalika ni 1)watoto wanaomwaminiYesu au 2)watoto ambao ni waaminifu

wasio na nidhamu

"waasi" au "ambao hawafuati maagizo"

msimamizi wa nyumba ya Mungu

Paulo anaongelea juu ya wazee kana kwamba walikuwa vichwa vya familia, wakuu wa nyumba ya Mungu"

Asiye...zoelea pombe

"asiwe mtu mwenye kutumia kileo" au "asiwe mnywaji" au "asiwe mlevi sana wa pombe"

Asiwe mgomvi

"Asiwe mtu wa fujo"au "asiwe anapenda kupigana na kugombana"