forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
960 B
Markdown
32 lines
960 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Baada ya kuwa amekwisha kumwambia Tito kuwaweka kazini wazee katika kila mji katika kisiwa cha Krete, Paulo anatoa matakwa yanayohitajika kwa wazee.
|
||
|
|
||
|
# Mzee lazima asiwe na lawama
|
||
|
|
||
|
Kutokulaumiwa ni ilie hali ya kujulikana kuwa mtu huyo hatendi mambo mabaya. "Mzee lazima asiwe na sifa mbaya."
|
||
|
|
||
|
# Mme wa mke mmoja
|
||
|
|
||
|
"kuwa mme mwaminifu" Maana zinazokubalika 1) Mme ambaye hatafuti mahusiano na wanawake wengine au 2) asiye na mke wa pila au hawala au suria.
|
||
|
|
||
|
# Watoto waaminifu
|
||
|
|
||
|
Imaana zinazokubalika ni 1)watoto wanaomwaminiYesu au 2)watoto ambao ni waaminifu
|
||
|
|
||
|
# wasio na nidhamu
|
||
|
|
||
|
"waasi" au "ambao hawafuati maagizo"
|
||
|
|
||
|
# msimamizi wa nyumba ya Mungu
|
||
|
|
||
|
Paulo anaongelea juu ya wazee kana kwamba walikuwa vichwa vya familia, wakuu wa nyumba ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Asiye...zoelea pombe
|
||
|
|
||
|
"asiwe mtu mwenye kutumia kileo" au "asiwe mnywaji" au "asiwe mlevi sana wa pombe"
|
||
|
|
||
|
# Asiwe mgomvi
|
||
|
|
||
|
"Asiwe mtu wa fujo"au "asiwe anapenda kupigana na kugombana"
|