sw_tn/sng/08/05.md

340 B

Maelezo ya Jumla

Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Sita ya kitabu, sehemu ya mwisho

Ni nani huyu anaye kuja

"Mwangalie huyu mwanamke wa ajabu anaye kuja." Ona jinsi ulivyo tafsiri maneno kama haya 6:10

nimekuamsha

"Nimekuamsha uamke"

mti wa mpera

Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:3

pale

chini ya mpera

alijifungua wewe

alikuzaa